Ndugu Iddngao,
Tafadhali fanya maombi kwa njia ya mtandao kupitia kiunganishi https://lois.ewura.go.tz/ewura/ katika tovuti yetu. Unapaswa kuwa na cheti cha ufundi, kitambulisho (kura, leseni ya udereva,nida), wasifu (CV) na picha yenye kivuli cha bluu katika nakala laini (soft) kabla ya kufanya maombi ili uweze kuambatisha nyaraka hizo.
Endapo utapata changamoto yoyote wasiliana nasi 0800110030 BURE siku na muda wa kazi.
Karibu
Naitaji leseni ya ufundi umeme
Ndugu Iddngao,
Tafadhali fanya maombi kwa njia ya mtandao kupitia kiunganishi https://lois.ewura.go.tz/ewura/ katika tovuti yetu. Unapaswa kuwa na cheti cha ufundi, kitambulisho (kura, leseni ya udereva,nida), wasifu (CV) na picha yenye kivuli cha bluu katika nakala laini (soft) kabla ya kufanya maombi ili uweze kuambatisha nyaraka hizo.
Endapo utapata changamoto yoyote wasiliana nasi 0800110030 BURE siku na muda wa kazi.
Karibu
Nimejaribu kujiunga nimekubaliwa kuwa member changamoto inakuja kwenye kubadili password Athanasedwintewe@gmail.com
Ndugu Athanas,
Pole kwa changamoto.
Tafadhali tupatie namba yako ya simu kwa ufuatiliaji.
Asante