TAARIFA KWA UMMA: Maombi ya Kubadili Umiliki wa Leseni na Majina ya Vituo vya Mafuta

TAARIFA inatolewa kwa umma kwamba Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imepokea maombi ya kubadili umiliki wa leseni na majina ya vituo vya mafuta vya Raifu Company Ltd na Elita Company Ltd.

Soma zaidi:-Maombi ya Kubadili Umiliki wa Leseni na Majina ya Vituo vya Mafuta

 

Visits: 244

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *