Mwito wa Maoni ya Wadau Kuhusu Maombi ya Marekebisho ya Bei za Maji kutoka Mamalaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira ya Sumbawanga (SUMBAWANGA WSSA) kwa Mwaka 2019/20 – 2021/22

Kwa mujibu wa kifungu Na. 19 (2) (b) cha Sheria Na. 414, kutakuwa na Mkutano wa Taftishi siku ya Jumatano, tarehe 19 Februari 2020 katika Ukumbi wa Upendo View uliopo Sumbawanga Mjini kuanzia saa 4:00 asubuhi. Lengo la mkutano huo ni kupata maoni ya wadau ikiwa ni pamoja na Baraza la Ushauri la Serikali, Baraza la Ushauri la watumia huduma zinazodhibitiwa na EWURA, wateja wa Mamlaka ya Maji Sumbawanga, na wananchi wote kwa ujumla kuhusu uhalali wa hoja za bei zinazopendekezwa. Soma Zaidi:-

Mwito wa Maoni ya Wadau kuhusu Maombi ya Marekebisho ya Bei za Maji kutoka Sumbawanga WSSA Kwa Mwaka 2019– 2022

A call for Stakeholders’ Views on the Tarrif Application from Sumbawanga WSSA for Years 2019– 22

Visits: 369

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *