EWURA Yafuta Leseni Uendeshaji Biashara ya Mafuta kwa Jumla

EWURA yafikia maamuzi ya kufuta leseni za uendeshaji biashara ya mafuta ya petroli kwa jumla baada ya kujiridhisha kuwamakampuni husika yameshindwa kufanya biashara ya mafuta kwa jumla kwa mujibu wa kifungu cha 143(1) (a) cha Sheria ya Mafuta, Sura ya 392 na kanuni ya 16(3) ya Kanuni za Petroleum (Wholesale, Storage, Retail and Consumer Installation Operations) Rules, Toleo la Gazeti la Serikali Na. 380 la 2018.

Soma Zaidi:-

Visits: 378

2 thoughts on “EWURA Yafuta Leseni Uendeshaji Biashara ya Mafuta kwa Jumla

  1. Nataka kuanzisha biashara ya mafuta ya kutembea,,Yaani nitakuwa na tenk dogo lenye ujazo wa lita4000 ikiwa nusu Petrol na nusu diesel.kuwe na pump mbili za kutolea mafuta,ambayo tank ilo litabebwa kwenye gari maalum..na halitakuwa Na kituo maalum ila halita simama kwenye makazi ya watu kutoa uduma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *