Taarifa kwa Umma : Maombi ya Leseni Kujihusisha na Mkondo wa Chini wa Sekta ya Mafuta ya Petroli

Taarifa inatolewa kwa umma kwamba, EWURA imepokea maombi leseni kujihusisha na mkondo wa chini wa sekta ya mafuta ya petroli. Mtu yeyote au kikundi cha watu wenye pingamizi kwa mwombaji yeyote wa leseni aliyetajwa katika kiambatanisho chini, kwamba asipewe leseni, anatakiwa kuwasilisha pingamizi hilo kwa EWURA ndani ya siku kumi na nne (14) kuanzia tarehe ya tangazo hili kupitia anwani tajwa katika taarifa hii.

Soma zaidi :- Maombi ya Leseni

 

 

Visits: 287

One thought on “Taarifa kwa Umma : Maombi ya Leseni Kujihusisha na Mkondo wa Chini wa Sekta ya Mafuta ya Petroli

  1. HABARI ZA LEO KUNA KIPINDI FULANI EWURA MLITANGAZA MTAANZA KUTOA LESENI KWA VITUO VYA MAFUTA VINAVYOHAMISHIKA(MOBILE PETROL STATION) JAMBO HILI LIMEISHIA WAPI WADAU TULIKUWA TUNASUBIRI KWA HAMU SANA JAMBO HILI MAANA WENGINE HATUNA UWEZO KUJENGA VITUO VIKUBWA HILI LILIKUWA MKOMBOZI WETU.TUNAOMBA MLIFIKIRIE JAMBO HILI KAMA HAMNA SPECIFICATION NAWEZA WASILIANA NA KAMPUNI RAFIKI TOKA CHINA WAKANITUMIA NIKAWAPATIA,WAO WANA VITUO AINA ZOTE VYA GAS ASILIA NA HIVI VYA MAFUTA YA DIZELI NA PETROL.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *