EWURA Yaagiza Mamlaka za Maji Nchini Kusitisha Matumizi ya Bei za Maji za Mwaka 2021

EWURA imefuta bei zote za maji  za Mamlaka zote za Maji nchini zilizotakiwa  kutumika kuanzia Januari 2021 na  bei za mwaka 2019/20 zitaendelea kutumika hadi hapo itakavyoelekezwa vinginevyo. Soma Zaidi:-Taarifa kwa Vyombo vya Habari-Kufutwa Bei za Maji za 2021

Hits: 549

4 thoughts on “EWURA Yaagiza Mamlaka za Maji Nchini Kusitisha Matumizi ya Bei za Maji za Mwaka 2021

  1. Bei za Maji zimekuwa zikitofautiana kutoka mkoa mmoja hadi mwingine , kwa case ya mkoa wa mbeya kwa mjibu wa bei ya ewura ni Tsh 1100 per unit kwa matumizi ya nyumban. Mbona tumekuwa tukitozwa Tshs 1275 per unit baada ya makato mengine . Eg unit 160 kwa Tsh 204000. Hyo imekaaje inatuumiza saaana wananchi.

    1. UFAFANUZI
      Bei zilizoidhinishwa kwa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mbeya kwa matumizi ya Majumbani ni kama inavyooneshwa kwenye Jedwali hapa chini

      Kundi la Watej a

      Matu mizi ya Sasa

      Matumiz i yaliyope
      ndekezw a
      Bei za Sasa

      Bei Zilizopendekezwa Matumizi yaliyoidhinishwa

      Bei
      Zilizoidhinishwa

      2017
      /18
      2018
      /19
      2019
      /20
      2020/21 2018/19 2019/20 2020/21

      Maju mbani
      0-5
      0-10
      670 1,150 1,300
      1,450
      0-10 1,000 1,100 1,100

      5–15
      >10–20
      720 1,260 1,350
      1,500 >10–20 1,100 1,100 1,200

      >15
      >20
      820 1,450 1,450
      1,600
      >20 1,300 1,300 1,300

      Bei zimeidhinishwa kwa kila kiwango cha matumizi, kwa matumizi ya unit 0 hadi 10 na 10 hadi 20 bei ni Sh. 1,100 kwa unit moja ila Zaidi ya Unit 20 bei ni Sh. 1,300.
      Hivyo kwa Matumizi ya Unit 160, mchanganuo wake ni kama ifuatavyo;
      Unit Bei Kiasi (Sh.)
      20 1,100 22,000
      140 1,300 182,000
      Jumla 160 204,000

      Hivyo Bei iliyotozwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya kwa Mteja ni Sahihi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *