Kutokana na kifungu cha 19(4) cha Sheria ya EWURA, Sura ya 414 ya Sheria za Tanzania, taarifa inatolewa kwa umma kwamba, wafuatao wameomba leseni kujihusisha na mkondo wa chini wa sekta ya mafuta ya petroli.
Read More:-Mwito wa Maoni
Hits: 294
Kutokana na kifungu cha 19(4) cha Sheria ya EWURA, Sura ya 414 ya Sheria za Tanzania, taarifa inatolewa kwa umma kwamba, wafuatao wameomba leseni kujihusisha na mkondo wa chini wa sekta ya mafuta ya petroli.
Read More:-Mwito wa Maoni
Hits: 294
Namna ya kujisajiri ili kutoa huduma katika ujenzi wa Bomba la mafuta Hoimonhadi ChongoleenibTanga
Bwana Kalikawe,
Tumia kiunganishi https://www.ewura.go.tz/wp-content/uploads/2021/07/Mwongozo-wa-Jinsi-ya-Kujisajili-Kwenye-Kanzi-Data-ya-Watoa-Huduma-wa-Ndani.pdf kupata mwongozo wa mahitaji ya kujisajili. Kisha ingia katika kiunganishi https://www.ewura.go.tz/local-content-lssp-database/ ili kupakua Fomu Na. N-100 ujaze.
Endapo utapata changamoto yoyote wasiliana nasi BURE 0800110030 muda na siku wa kazi.
Karibu
lini tutapata leseni kwa vituo vya mafuta inavyotembea?