Kwa mujibu wa Kifungu cha 8(1) (h) cha Sheria ya Umeme, Sura ya 131, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeandaa Kanuni mpya za Umeme (Huduma za Ufungaji Mifumo ya Umeme) za mwaka 2022.
Soma Zaidi:-
- Taarifa kwa Umma_Kanuni Mpya za Umeme 2022
- Public Notice_ New Electrical Installation Services Rules 2022
Views: 383
Mm nimeomba leseni tangu mwezi wa sita mpaka leo sijapata na account yangu haifunguki shida ni nini?
Naomba kujua utaratibu wa kupata leseni
Ndugu Joseph,
Mtu mwenye elimu hiyo anaweza kupata leseni.
Karibu ufanye maombi kupitia mfumo wa LOIS katika tovuti http://www.ewura.go.tz kisha bofya LOIS kupata https://lois.ewura.go.tz/ewura/. Fungua kiunganishi kisha jisajili na kuendelea kujaza fomu ya maombi.Unatakiwa kuwa na picha ya pasipoti (yenye kivuli cha bluu), cheti cha elimu ya ufundi kilichothibitishwa na mwanasheria au hakimu, kitambulisho cha taifa, kupigia kura au leseni ya udereva,wasifu (CV) yako.
Karibu
Habari naitwa emmanuel nilitaka kuuliza leseni yangu inatoka lini .Dear EMMANUEL I. MSANGI
Ref. No : ELINC/2022/0513.