TAARIFA KWA UMMA: Ombi la Kubadili Umiliki na Jina la Leseni kutoka Mtweve Oil – Sangambi Filling Station kwenda Moshi Zuberi Nzowa

Taarifa inatolewa kwa umma kwamba Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imepokea ombi la kubadili umiliki wa leseni na jina la kituo  cha mafuta ya Petroli kutoka Mtweve Oil – Sangambi Filling Station kwenda Moshi Zuberi Nzowa.

Soma Zaidi:-Ombi la Kubadili Umiliki na Jina kutoka Mtweve kwenda Moshi Nzowa

Visits: 197

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *