TAARIFA KWA UMMA: Mwito wa Maoni au Pingamizi dhidi ya Maombi ya Leseni kutoka Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Tunduru na Tunduma

Taarifa inatolewa kwa umma  chini ya Kifungu na 19(2) (a) cha Sheria ya EWURA, Sura ya 414 kuwa, mtu yeyote mwenye maoni au pingamizi dhidi ya maombi tajwa hapo juu, awasilishe kwa maandishi EWURA kwa anwani iliyotajwa hapa chini ndani ya siku ishirini na moja (21) kuanzia siku ya kuchapishwa kwa tangazo hili.

Soma Zaidi:-Maombi ya Leseni Tunduru na Tunduma WSSA

Visits: 66

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *