TAARIFA KWA UMMA: Onyo kwa Wazalishaji, Waagizaji, Wasambazaji na Wauzaji wa Vilainishi Visivyokidhi Ubora

EWURA inatoa ONYO kwa wazalishaji, waagizaji, wauzaji wa jumla, na wasambazaji wa vilainishi kuacha mara moja kuuza bidhaa zisizokidhi ubora kwani kufanya hivyo ni kinyume na sheria.

Soma Zaidi:-ONYO -KWA WAAGIZAJI, WASAMBAZAJI NA WAUZAJI WA VILAINISHI VYA MAGARI 230404

Hits: 245

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *