Taarifa inatolewa kwa mujibu wa Kifungu cha 19(4) cha Sheria ya EWURA Sura ya 414, kuwa EWURA itafanya taftishi na mkutano wa kusikiliza maoni ya wadau utakaofanyika siku ya Alhamisi, tarehe 18 Mei 2023 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala uliopo mjini Newala kuanzia saa 4:00 asubuhi.
Soma Zaidi:-Mwito wa Maoni ya Wadau Bei za Makonde WSSA
Visits: 37