MWITO WA MAONI: Maombi ya Marekebisho ya Bei ya Huduma za Maji kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi kwa Mwaka 2021/22 – 2023/24

Kwa mujibu wa kifungu Na. 19 (2) (b) cha Sheria Na. 414, taarifa inatolewa kwa umma kuwa kutakuwa na Mkutano wa Taftishi siku ya Alhamisi, tarehe 25 Agosti 2022, katika ukumbi wa KILIMANJARO CRANE HOTEL, Moshi Mjini kuanzia saa 4:00 asubuhi kwa ajili ya kupata maoni ya wadau, kuhusu uhalali wa marekebisho ya bei zinazopendekezwa na Mamlaka ya Maji Moshi.

Soma Zaidi:-Marekebisho ya Bei-Moshi WSSA

Hits: 1765

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *