Photo Gallery

Mkurugenzi wa Maji na Usafi wa Mazingira EWURA, Mhandisi Exaud Fatael aliyekaa (katikati) katika picha ya pamoja na baadhi ya watendaji kutoka Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira za Miji Mkuu ya Mikoa na Miradi ya Kitaifa, Mara baada ya Semina ya Siku mbili juu ya kuimarisha ubora wa maji safi na udhibiti wa Majitaka iliyofanyika katika Ofisi za EWURA, Dodoma.

Waandishi wa Habari wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa wakifuatilia kwa Umakini Mafunzo ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji yaliyofanyika jijini Mwanza.

 

Iringa Regional Commisioner Hon. Ally Hapi (Center) in a group photo with delegates from EWURA Central Zone Office when visited his office recently, From left is Eng. Nathaniel Edward Senior Petroleum Inspector, EWURA Central Zone Manager Eng. Norbert Kahyoza (2nd Left), Eng. Nicholaus Kayombo, Senior Electrical Inspector, and Ms. Getrude Mbiling’i, Senior Customer Service Officer.
EWURA’s Acting Director General Eng. Godfrey Chibulunje (left), networking with EWURA’s First Director General, Mr. Haruna Masebu and DAWASA CEO, Eng. Cyprian Luhemeja, during Board Audit Forum Conference in Arusha.
Manyara District Commisioner Hon. Elizabeth Kitundu (second right), EWURA’s Northern Zone Manager Eng. Lorivii Long’idu (Second left) in a group photo with some participants of the awareness seminar about EWURA to Manyara regional, District, ward, Mitaa and Village executive officers held in Manyara City Council.

Visits: 15200