Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatoa tahadhari kwa umma dhidi ya onyo linalosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, likidai kwamba “kwa sababu ya mabadiliko ya hali ya hewa yanayoambatana na joto kali, inashauriwa kuepuka kujaza pomoni petroli kwenye magari yao ili kujihadhari na uwezekano wa mlipuko”.Soma Zaidi:-TAHADHARI KWA UMMA
______________________________________________________________________________________________________________
Views: 71