TAARIFA KWA UMMA: EWURA Yaonya Uuzaji wa Mafuta ya Petroli Kiholela

Katika siku za hivi karibuni,  kumekuwapo na ushamiri wa  uuzwaji mafuta hasa ya Petroli na  Dizeli katika maeneo yasiyoruhusiwa (nje ya vituo vya mafuta) pasipo kuzingatia masuala ya usalama na mazingira ( Health, Safety and Environment) katika jiji la Dar es Salaam.

Soma Zaidi:ONYO- Uuzaji Mafuta Kiholela

Visits: 467

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *