TAARIFA KWA UMMA: Mwito wa Maoni kuhusu Maombi ya Leseni katika Sekta ya Mafuta ya Petroli

Kutokana na kifungu cha 19(4) cha Sheria ya EWURA, Sura ya 414 ya Sheria za Tanzania, taarifa inatolewa kwa umma kwamba, wafuatao wameomba leseni kujihusisha na mkondo wa chini wa sekta ya mafuta ya petroli.

Soma Zaidi:-Mwito wa kutoa Maoni

Visits: 58

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *