EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta kuanzia Alhamis tarehe 02 Septemba 2021

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo mpya za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Tangazo hili linasitisha bei zilizotangazwa  kupitia tangazo na. PPR/21-09/1 la tarehe 01 Septemba, 2021. Hivyo basi, bei bidhaa za mafuta zitaendelea kutumika zilizotangazwa Jumatano 04, Agosti 2021 kuanzia leo Alhamis, tarehe 02 Septemba 2021.

Soma Zaidi:-https://www.ewura.go.tz/fuel-prices/

Visits: 4812

2 thoughts on “EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta kuanzia Alhamis tarehe 02 Septemba 2021

    1. Ndugu Mary,
      Kujua bei kila wakati, popote ulipo kiganjani mwako piga *152*00#, chagua namba 4, chagua Nishati, kisha bei za mafuta. Endelea kufuata maekezo na mwisho utapata ujumbe wa bei.
      Asante

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *