Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan azindua Ripoti ya Utendaji wa Mamlaka za Maji Nchini kwa mwaka 2020/21

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amezindua Ripoti ya Utendaji ya Mamlaka za Maji  na Usafi wa Mazingira za Miji Mikuu ya Mikoa, Miradi ya Kitaifa, Makao Makuu ya Wilaya na Miji Midogo kwa mwaka 2020/21. Ripoti iliyozinduliwa na Mhe. Rais imeanisha kwa kina maendeleo na utendaji wa Mamlaka za Maji kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Soma Zaidi:- https://www.ewura.go.tz/sector-performance-reports/

Visits: 148

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *