Mwito wa Kutoa Maoni : Maombi ya Leseni Kujihusisha na Mkondo wa Chini wa Sekta ya Mafuta ya Petroli.

Kutokana na kifungu cha 19(4) cha Sheria ya EWURA, Sura ya 414 ya Sheria za Tanzania, taarifa inatolewa kwa umma kwamba, wafuatao wameomba leseni kujihusisha na mkondo wa chini wa sekta ya mafuta ya petroli. Mtu yeyote au kikundi cha watu wenye pingamizi kwa mwombaji yeyote wa leseni hapo juu kwamba asipewe leseni, anatakiwa kuwasilisha pingamizi hilo kwa EWURA ndani ya siku kumi na nne (14) kuanzia tarehe ya tangazo hili kupitia anwani tajwa :-

Soma zaidi ;-Mwito wa Kutoa Maoni

Visits: 763

One thought on “Mwito wa Kutoa Maoni : Maombi ya Leseni Kujihusisha na Mkondo wa Chini wa Sekta ya Mafuta ya Petroli.

  1. It’s аppropriate time to make ѕome plans fߋг the future
    and it is time to be happy. I’ve read tһis post and if І could I desire tօ suggest yoս some іntereѕting things or suggestions.
    Perhaps yoս can write neⲭt аrticles referring to this article.
    I Ԁesire to read even more things about it!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *