PUBLIC NOTICE: Application for Provisional Electricity Generation Licence from Suma Hydro Limited

Any person who has any comment or objection should submit the same in writing to EWURA within twenty-one (21) days from the date of this notice. The application documents can be viewed upon written request.

Read More:-Public Notice – Suma Hydro Ltd

Visits: 380

2 thoughts on “PUBLIC NOTICE: Application for Provisional Electricity Generation Licence from Suma Hydro Limited

  1. Habar naomba kujulishwa jinsi ya kupata leseni kwa mimi niliyemalza chuo cha ufundi(VETA) mwaka 2022 fani ya umeme daraja(level 3) .

    1. Ndugu Ismail,
      Maombi ya leseni hufanyika kwa njia ya mtandao kupitia mfumo wa LOIS unaopatikana kwenye tovuti ya EWURA. Bofya kiunganishi https://lois.ewura.go.tz/ewura/ kujisajili kisha endelea kujaza taarifa zako kwenye mfumo. Unatakiwa kuwa na picha ya pasipoti yenye kivuli cha bluu, cheti cha elimu ya ufundi (kilichothibitishwa), kitambulisho (KURA, Leseni ya Udereva ama Cha Taifa),na Wasifu wako (CV) katika nakala laini kabla ya kufanya maombi kwenye mfumo.

      Karibu

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *