TAARIFA KWA UMMA: MAOMBI YA TANESCO YA KUREKEBISHA BEI ZA UMEME- WITO WA KUKUSANYA MAONI YA WADAU

Mnano tarehe 24 Februari 2016, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), ilipokea ombi toka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) la kutaka mabadiliko ya bei ya umeme kwa miaka miwili kuanzia tarehe 1 Aprili 2016.

Kwa mujibu wa kifungu Na. 19(2) (b) cha Sheria ya EWURA, Sura Na. 414, Mamlaka inaanzisha mchakato wa kupata maoni ya wadau ili kujua uhalali wa maombi ya nyongeza ya bei za huduma iliyoyapokea kutoka TANESCO.

Kwa taarifa zaidi, soma nyaraka zifuatazo;

TAARIFA KWA UMMA – WITO WA KUKUSANYA MAONI

PUBLIC NOTICE – CALL FOR STAKEHOLDERS’ VIEWS ON THE TANESCO TARIFF REVIEW

TANESCO TARIFF ADJUSTMENT APPLICATION FEBRUARY 2016

TANESCO FINANCIAL STATEMENT 2013

TANESCO REVENUE REQUIREMENT YEAR 2016-2017

SUMMARY OF OUTSTANDING BALANCE 21 FEB 2016

Visits: 106