Mwito wa Maoni ya Wadau Kuhusu Maombi ya Marekebisho ya Bei za Majisafi na Majitaka Kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira ya Tabora WSSA Kwa Mwaka 2018/19

Kwa mujibu wa kifungu Na. 19 (2) (b) cha Sheria Na. 414, EWURA inaanzisha mchakato wa kupata maoni ya wadau ili kujua uhalali wa maombi ya marekebisho bei na ada kutoka  Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tabora. Soma Zaidi:-

Mwito wa Maoni ya Wadau-Tabora WSSA

A Call for Stakeholders’ Views-Tabora WSSA

_____________________________________________________________________________________________________________

 

Visits: 32

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *