Mwito wa Maoni ya Wadau Kuhusu Maombi ya Marekebisho ya Bei za Majisafi na Majitaka Kutoka Mamalaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira ya Kishapu WSSA) Kwa Mwaka 2018/19

Kwa mujibu wa kifungu Na. 19 (2) (b) cha Sheria Na. 414, EWURA inaanzisha mchakato wa kupata maoni ya wadau ili kujua uhalali maombi ya marekebisho bei na ada kutoka  Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kishapu. Soma Zaidi:-

Mwito wa Maoni ya Wadau Kishapu WSSA

A Call for Stakeholders’ Views Kishapu WSSA

____________________________________________________________________________________________________________

Visits: 16

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *