Mwito wa Maoni ya Wadau Kuhusu Maombi ya Marekebisho ya Bei za Majisafi na Majitaka Kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira ya Ngudu WSSA Kwa Mwaka 2018/19

Kwa mujibu wa kifungu Na. 19 (2) (b) cha Sheria Na. 414, EWURA inaanzisha mchakato wa kupata maoni ya wadau ili kujua uhalali wa maombi ya Marekebisho ya Bei za  Majisafi na Majitaka kutoka Mamlaka ya Majisafi na  Usafi wa Mazingira ya Ngudu (NGUDU WSSA) kwa Mwaka 2018/19. Soma Zaidi:- 

Mwito wa Maoni ya Wadau- Ngudu WSSA

A Call for Stakeholders’ Views Ngudu WSSA

________________________________________________________________________________________________

Hits: 12

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *