Kwa mujibu wa kifungu Na. 19 (2) (b) cha Sheria ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA Act) Na. 414, kutakuwa na Mkutano wa Taftishi siku ya Ijumaa, tarehe 3 Mei 2019 katika ukumbi wa Tareku uliopo Muheza Mjini kuanzia saa 4:00 asubuhi.
Lengo la mkutano huo ni kupata maoni ya wadau ikiwa ni pamoja na Baraza la Ushauri la Serikali; Baraza la Ushauri la watumia Huduma zinazodhibitiwa na EWURA; wateja wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Muheza na wananchi wote kwa ujumla kuhusu uhalali wa bei zinazopendekezwa. Soma Zaidi:-
Mwito wa Maoni ya Wadau- Muheza WSSA
A Call for Stakehoders’ Views -Muheza WSSA
_______________________________________________________________________________________________________________
Hits: 22