Orodha ya Waombaji wa Leseni za  Umeme Waliopitishwa na Bodi Tarehe 22/3/2019 Kupewa Leseni

Bodi ya Wakurugenzi ya EWURA katika kikao chake cha tarehe 22/3/2019, imeidhinisha jumla ya waombaji 91 wa  leseni wa madaraja mbali mbali kupewa leseni ambazo  muda wake wa mwisho wa matumizi utakuwa  tarehe 21/3/2021.

Kwa tangazo hili, waombaji hawa wanatakiwa kufika ofisi za EWURA Makao Makuu – Dodoma au Ofisi za Kanda zilizo Dar es Salaam, Dodoma, Mbeya, Arusha na Mwanza   kulipia ada za leseni hizo  ili waweze kuandaliwa   leseni zao. Soma Zaidi:- 

 Waliopitishwa Kupewa Leseni za Umeme

__________________________________________________________________________________________________

Visits: 306