Maombi ya Leseni ya Kuzalisha Umeme – Mwenga Hydro Limited

TAARIFA inatolewa kwa umma kwamba Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imepokea maombi ya leseni ya kuzalisha umeme kutoka kwa Kampuni ya Mwenga Hydro Limited. EWURA inakaribisha maoni na/au pingamizi kuhusiana na maombi haya.

Soma zaidi ;-Maombi ya Leseni ya Kuzalisha Umeme

Hits: 313

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *