The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) is an independent, world class regulatory authority responsible for licensing, tariff regulation and quality of service regulation of the electricity, water, petroleum and Natural gas sectors. EWURA has the following vacancies for which suitably qualified Tanzanian citizens are invited to apply.
Read More:- ICT Officer
Visits: 2616
Habari ..naweza kutuma maombi ya kazi kutumia email hii jobs@ewura.go.tz?
Habari,
Tafadhali fuata maelekezo yaliyopo katika tangazo la kazi.
Asante
Nice opportunities. Thanks
taarifa ya kuwa shortilisted o not shortilisted unaipataje?
Ndugu Mboya,
Taarifa hutumwa kwa waliofaulu vigezo. Endapo umekidhi utataarifiwa kwa utaratibu husika.
Karibu
tunaomba kujua kama wenye vigezo wameshaitwa kwenye usaili tafadhali
Ndugu Ephraim,
Vigezo na masharti huzingatiwa katika kuwajulisha waliofaulu kuhudhuria usaili. Tafadhali rejea maelezo yaliyoanishwa katika tangazo.
Asante
Habari
kuhusu hii nafasi ya – ICT Officer nnaweza kupata mrejesho kwamba tayari interview zimefanyika au tuendelee kusubiri interview maana ni muda since tulivyotuma application.
Ndugu Ismail,
Wote walioomba nafasi hiyo hupewa taarifa kupitia njia zilizoanishwa katika tangazo la kazi.
Karibu.
habari naomba kujua kama interview zilishafanyika kwa maombi ya mwezi may
Habari,
kuna nafasi nyingine mmetangaza kwa siku za hivi karibuni, ziwe za kuhamia au ajira mpya?.
Ndugu Mikidadi
Zipo nafasi zilitangazwa za kuhamia.
Karibu
If you are going for best contents like me, only pay a quick visit
this web site all the time because it presents quality contents, thanks
Review my web blog – 카지노메이비