TAARIFA KWA UMMA : Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta ya Petroli Kuanzia Jumatano, 06 Januari 2021

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, Tarehe 6 Januari 2021.

Soma Zaidi :- Bei Kikomo ya Mafuta ya Petroli Kuanzia 06 Januari 2021

Visits: 4174

2 thoughts on “TAARIFA KWA UMMA : Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta ya Petroli Kuanzia Jumatano, 06 Januari 2021

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *