Employment Opportunity : Accounts Officer, May 2021

The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) is an independent, world class regulatory authority responsible for licensing, tariff regulation and quality of service regulation of the electricity, water, petroleum and Natural gas sectors.  EWURA has the following vacancies for which suitably qualified Tanzanian are invited to apply.

Read more:- Employment Opportunity

Visits: 2321

15 thoughts on “Employment Opportunity : Accounts Officer, May 2021

  1. Habar
    Naitwa Joseph Macha nauliza kama kwenye taasisi yenu mnatoa nafas kwa ajili ya fresh graduate kukifunza na kupata uzoefu zaid

    1. Ndugu Joseph,
      EWURA hutoa tu nafasi kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo ili kufanya mafunzo ya vitendo. Hata hivyo, unaweza kuandika barua kwa Mkurugenzi Mkuu ukielezea suala lako; endapo nafasi itapatikana utajulishwa.
      Karibu

      1. Habari

        naitwa Innocent Augustine nilikuwa nauliza na kwa sisi ambao ni fresh from school or fresh graduate lakini tunaendelea na masomo ya professional like CPA (T) tunaweza kupata nafasi hili kufanya mafunzo kwa vitendo.

        Asante

  2. Naitwa sweya musa samahani nauliza kwamba field kwa course ya accounting huwazinafanyika napenda kufahamu ,kazi njema

    Asante

    1. Habari Sweya
      Unapaswa kuwasilisha barua ya maombi ya mafunzo kwa vitendo kutoka Chuo unachosoma.Endapo nafasi zitapatikana, utajulishwa.
      Asante

  3. Nashukuru kwa majibu na maelekezo yote pia nafurahi kupokelewa kwa barua yangu ya field,Natumai kama nafasi zitakuwepo nitajifunza masomo yangu ya vitendo katika taasisi hii ya gesi,nishati na maji ,it is all about my wishes to join this authority for my studies for more experience. Wishes all the best on your duties.

  4. Naitwa Joseph ni Mhasibu wa moja ya Halmashauri nchini.Je,naweza kuandika barua ya Kuhamia EWURA ili niweze kuboresha utendaji wangu wa kazi kwa Maslahi ya Taifa langu?

    1. Ndugu Joseph,
      Unaweza kuandika barua endapo umejiridhisha nafasi unayotaka kuomba ipo. Vilevile,endelea kufuatilia matangazo ya nafasi za kazi yanayotolewa na EWURA katika vyombo vya habari na tovuti.

      Asante

  5. Naitwa Clara , mlitutangazia nafasi za kuhamia EWURA Jan 2023 nilikua naomba kufahamu majibu hayajatoka.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *