MWITO WA KUTOA MAONI : MAOMBI YA KUJIHUSISHA NA SHUGHULI ZA MKONDO WA CHINI WA SEKTA YA MAFUTA YA PETROLI

Taarifa inatolewa kwa umma kwamba, wafuatao wameomba leseni kujihusisha na mkondo wa chini wa sekta ya mafuta ya petroli, Mtu yeyote au kikundi cha watu wenye pingamizi kwa mwombaji yeyote wa leseni hapo juu kwamba asipewe leseni, anatakiwa kuwasilisha pingamizi hilo kwa EWURA ndani ya siku kumi na nne (14) kuanzia tarehe ya tangazo hili, kupitia anuani tajwa.

Soma zaidi :- Mwito wa Kutoa Maoni

Hits: 893

One thought on “MWITO WA KUTOA MAONI : MAOMBI YA KUJIHUSISHA NA SHUGHULI ZA MKONDO WA CHINI WA SEKTA YA MAFUTA YA PETROLI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *