TAARIFA KWA UMMA: Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta ya Petroli kuanzia Jumatano tarehe 3 Mei 2023 saa 6:01 usiku

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia kuanzia Jumatano, tarehe 3 Mei 2023 saa 6:01 usiku.

Soma Zaidi:-https://www.ewura.go.tz/fuel-prices/

Visits: 6218

8 thoughts on “TAARIFA KWA UMMA: Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta ya Petroli kuanzia Jumatano tarehe 3 Mei 2023 saa 6:01 usiku

  1. Hello
    Mimi naishi Mkoani Pwani Rufiji Kijijini Cha Chumbi C
    Nimeona Tangazo la Mkakati wa Serikali kusambaza GESI BURE Vijijini .Mimi nahitaji hii gesi naombeni mnitumie Fomu .Deadline ni Mei 10,2023 .Naombeni maelekezo TAFADHALI .
    Namba yangu ya Simu 0717911671

    1. Ndugu Simoni.
      Bila shaka suala hilo linaratibiwa na REA (Wakala ya Nishati Vijijini) na si EWURA, hivyo tutawasilisha suala lako REA ili waweze kuwasiliana nawe.

      Karibu

  2. Napataje Fomu ya Maombi ya kupata Gesi BUREEE??
    Nipo Kijijini Sanaa
    Mkoani Pwani Rufiji Kijijini Chumbi .
    Tafadhali naombeni msaada
    namba ya Simu 0717911671

    1. Ndugu Winfredy,
      Tafadhali piga *152*00#; chagua namba 4, endelea kufuata maelekezo utapata bei ya mafuta popote ulipo.
      Karibu

    1. Ndugu John,
      Tafadhali piga *152*00#; chagua namba 4, endelea kufuata maelekezo utapata bei ya mafuta popote ulipo.
      Karibu

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *