TAARIFA KWA UMMA: Ombi la Kubadili Umiliki wa Leseni na Jina la Kituo cha Mafuta kutoka kwa Jobu Bosco Fuime T/A Pwaga Petrol Station kwenda kwa Benedict John Fuime

TAARIFA inatolewa kwa umma kwamba EWURA  imepokea ombi la kubadili umiliki wa leseni na jina la kituo cha mafuta. Mtu yeyote mwenye maoni au pingamizi dhidi ya mabadiliko ya umiliki na majina ya leseni, afanye hivyo kwa maandishi na kuwasilisha EWURA kwa anwani iliyotajwa hapa chini ndani ya siku kumi na nne tangu tarehe ya tangazo hili.

Soma Zaidi:-Maombi ya Kubadili Umiliki wa Leseni kutoka Jobu Fuime

 

Visits: 37

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *