Mwito wa Kutoa Maoni : Maombi ya Leseni Kujihusisha na Mkondo wa Chini wa Sekta ya Mafuta ya Petroli

Kutokana na kifungu cha 19(4) cha Sheria ya EWURA, Sura ya 414 ya Sheria za Tanzania, taarifa inatolewa kwa umma kwamba, wafuatao wameomba leseni kujihusisha na mkondo wa chini wa sekta ya mafuta ya petroli.

Read more;- Mwito wa Kutoa Maoni

 

Visits: 411

2 thoughts on “Mwito wa Kutoa Maoni : Maombi ya Leseni Kujihusisha na Mkondo wa Chini wa Sekta ya Mafuta ya Petroli

  1. Hello, naitwa Naomi Ombija, niliomba kazi kupitia Ewura portal, sasa ni miezi zaidi ya mitano hakuna response yoyote, ni vizuri hata kama mtu hajapass ajulishwe ili kuepuka Kuwa na matarajio ambayo hayapo. Asante

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *