TAARIFA KWA UMMA: EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta ya Petroli kuanzia Jumatano 1 Desemba 2021

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, Tarehe 1 Desemba 2021.

Soma Zaidi:-https://www.ewura.go.tz/fuel-prices/

Visits: 5227

One thought on “TAARIFA KWA UMMA: EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta ya Petroli kuanzia Jumatano 1 Desemba 2021

  1. Jamani haya mafuta mbona yatatuto roho sasa ..
    Hii dunia mbona iko na kasi sanaa …
    Eeeh Mungu baba tuamshie mtetezi wetu japo kwa dakika chache apate kuona alichokiacha huku Tanzagiza…😭😭

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *