Maombi ya Leseni ya Kuzalisha Umeme Kutoka Jacana Resources (T) Ltd

TAARIFA inatolewa kwa umma kwamba Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imepokea maombi ya leseni ya kuzalisha umeme kutoka kwa Kampuni ya Jacana Resources (Tanzania) Limited. EWURA inakaribisha maoni na/au pingamizi kuhusiana na maombi haya.

Soma Zaidi:-Provisional Electricity Licence Application

Maombi ya Leseni ya Kuzalisha Umeme

Visits: 309

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *