TAARIFA KWA UMMA: Uvaaji Barakoa

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inapenda kuwataarifu  wadau wake wote na umma kwa ujumla  kuwa, endapo watalazimika  kufika katika Ofisi za EWURA, wavae BARAKOA ili kujikinga na kuwakinga watoa huduma  dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona.

Soma Zaidi:Uvaaji Barakoa

Visits: 183

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *