TAARIFA KWA UMMA: EWURA Yatoa Ripoti ya Utendaji wa Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira Nchini kwa Mwaka 2018/19

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetoa Ripoti ya Utendaji wa Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira nchini kwa mwaka 2018/19, ikihusisha Mamlaka za maji za Mikoa na Miradi ya Kitaifa 34 na Mamlaka za Wilaya na  Miji Midogo 83.

Soma Zaidi: EWURA Yatoa Ripoti Utendaji Mamlaka za Maji Nchini-2018-19

 

Hits: 492

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *