TAARIFA KWA UMMA: Maombi ya Kubadili Umiliki wa Leseni na Majina ya Vituo vya Mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imepokea maombi ya kubadili umiliki wa leseni na majina ya vituo vya mafuta.  Mtu yeyote mwenye maoni au pingamizi awasilishe kwa  EWURA ndani ya siku kumi na nne toka tarehe ya tangazo hili. Soma Zaidi:-

Kubadili Umiliki wa Leseni na Majina ya Vituo

Transfer of Petroleum Retail Outlets Licences

 

Visits: 388

2 thoughts on “TAARIFA KWA UMMA: Maombi ya Kubadili Umiliki wa Leseni na Majina ya Vituo vya Mafuta

    1. Ndugu Mabula,
      Maombi ya Leseni ya Umeme hufanyika kwa njia ya mtandao kwa kutumia mfumo wa LOIS https://lois.ewura.go.tz/ewura/. Ingia katika katika tovuti yetu kwa kutumia kiunganishi hicho kisha jisajili na endelea kufanya maombi ya leseni.
      Inapaswa kuwa na picha yenye kivuli cha bluu, cheti cha ufundi kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali, kitambulisho au leseni ya udereva pamoja na wasifu wako (CV); vyote hivyo vikiwa katika nakala laini (soft copy)
      Karibu

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *