TANGAZO-Semina ya Mafundi Umeme wa Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, Septemba 2020

EWURA inawaalika mafundi umeme wote wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani kwenye semina ya siku tatu (3) itakayoanza saa tatu (3) asubuhi, tarehe 30/09/2020 hadi tarehe 02/10/2020 katika ukumbi wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) uliopo Mikocheni eneo la Viwanda.

Soma Zaidi:-Semina kwa Mafundi Umeme

Visits: 452

5 thoughts on “TANGAZO-Semina ya Mafundi Umeme wa Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, Septemba 2020

    1. Ndugu Said,
      Vigezo ni elimu ya ufundi kuanzia ngazi ya cheti.
      Maombi ya leseni hufanyika kwa njia ya mtandao kupitia https://lois.ewura.go.tz/ewura/. Bofya kiunganishi kujisajili kisha jaza fomu ya maombi. Hakikisha una picha (pasipoti) yenye kivuli cha bluu, nakala ya vyeti vya ufundi na wasifu (CV) vyote vikiwa katika nakala laini (soft copy) ili uweze kuambatisha katika mfumo.
      Kwa changamoto yoyote tuma pepe support@ewura.go.tz au piga simu 0800110030 (bila gharama); kwa muda na wakati wa kazi.
      Asante

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *