TAARIFA KWA UMMA: Mwito wa Maombi ya Leseni kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kyela – Kasumulu (Kyela – Kasumulu WSSA)

Mtu yeyote mwenye maoni au pingamizi  dhidi ya maombi ya leseni ya Mamlaka ya Maji naUsafi wa Mazingira Kyela-Kasumulu , awasilishe kwa maandishi EWURA  ndani ya siku ishirini na moja (21) kuanzia siku ya kuchapishwa kwa tangazo hili.

Soma Zaidi:-

Visits: 128

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *