TAARIFA KWA UMMA: EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta kuanzia Jumatano 4 Mei 2022

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, Tarehe 4 Mei 2022

Soma Zaidi:-https://www.ewura.go.tz/fuel-prices/

 

Visits: 19827

8 thoughts on “TAARIFA KWA UMMA: EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta kuanzia Jumatano 4 Mei 2022

    1. Ndugu Castor,
      Kufahamu bei ya mafuta piga *152*00#; chagua namba 4 na endelea kufuata maelekezo.
      Karibu.

  1. Tunaomba ushushaji wa bei ya mafuta uendane sambamba na nauli kupungua cyo nauli kubakia palepale

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *