Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inawaomba wadau kuwasilisha maoni ya maandishi kwa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA wakati wowote hadi tarehe 19 Mei 2022 kuhusu maombi ya bei za mpito za huduma za uondoaji wa majitaka kwa gari kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Maizngira Tanga (Tanga WSSA).
Soma Zaidi:-
- Mwito wa Maoni ya Wadau kuhusu maombi ya bei kutoka Mamlaka ya Maji Tanga
- A Call for Stakeholders’ Views on tariff Application from Tanga WSSA
Hits: 181