TAARIFA KWA UMMA: EWURA Yatangaza Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta ya Petroli Kuanzia Jumatano, Tarehe 6 Septemba 2023

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano, tarehe 6 Septemba 2023 saa 6:01 usiku.

Soma Zaidi:-https://www.ewura.go.tz/fuel-prices/

 

Visits: 11722

One thought on “TAARIFA KWA UMMA: EWURA Yatangaza Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta ya Petroli Kuanzia Jumatano, Tarehe 6 Septemba 2023

  1. dkt biteko mheshima naibu waziri alitembele ewura na kutoa maagizo kwa ewura kufanya tathimini juu ya bei ya nishati ya mafuta ili kuhakikisha nishati hiyo inapatikana kwa bei nafuu miongoni mwa watanzani ,je utekelezzji wake umefikia wapi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *