TAARIFA KWA UMMA: Maombi ya kubadili umiliki wa leseni na majina ya vituo vya mafuta.

TAARIFA inatolewa kwa umma kwamba Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imepokea maombi ya kubadili umiliki wa leseni na majina la vituo vya mafuta vya  Marema and Muhere Complex Co. Ltd – Mara Fuel Service Station na New Mwendo wa Saa – Kagondo Filling Station.

Soma zaidi :- Kubadili umiliki wa leseni

Hits: 153

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *