Fundi umeme mwenye nia ya kuhudhuria anaombwa kuthibitisha kwa ujumbe mfupi (SMS) kwenye namba 0757171723 au kwa kupiga simu +255 27 297 0277
Soma Zaidi:-TANGAZO- Semina Mafundi Umeme-Arusha
Hits: 403
Fundi umeme mwenye nia ya kuhudhuria anaombwa kuthibitisha kwa ujumbe mfupi (SMS) kwenye namba 0757171723 au kwa kupiga simu +255 27 297 0277
Soma Zaidi:-TANGAZO- Semina Mafundi Umeme-Arusha
Hits: 403
Yah .maombi ya leseni ya umeme
Mbona
Ni vigezo gani vinavyo itajika kupata leseni
Ndugu Dickson,
Vigezo vya kupata leseni ni kuwa na cheti cha elimu ya ufundi, kitambulisho, wasifu na picha yenye kivuli cha bluu pamoja na sh. 10,000/ gahrama ya maombi ya leseni. Aidha, kigezo cha msingi ni kuwa na elimu ya ufundi umeme kwa ngazi mbalimbali kuanzia wiremen.
Karibu.
Tunaomba tupewe unafuu kwenye maombi
Bwana Iddy,
Gharama ya maombi ni nafuu, ambayo ni tsh 10,000/ tu.
Gharama nyingine ni za leseni ambazo hulipwa kulingana na daraja la leseni.
Kwa maelezo zaidi unaweza kupiga simu no 0800110030 BURE muda wa kazi
kwatanga office zenu zipo maeneo gani
Ndugu Yohana,
Tanga hatuna Ofisi ila mkoa wa Tanga unahudumiwa na Ofisi ya Arusha. Hata hivyo unaweza kutembelea ofisi ya Dar es Salaam kwa maelezo zaidi.
Karibu
Naomba maombi ya leseni
Maombi ya leseni