Mwito wa Kutoa Maoni: Maombi ya Leseni kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Babati (Babati WSSA)

EWURA inakaribisha maoni kutoka kwa wananchi juu ya maombi ya leseni ya kutoka Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira kwa ajili ya kutoa huduma za majisafi na usafi wa mazingira katika eneo la Babati mjini na Miji ya Bashnet, Dareda, Gallapo, Magugu na Katesh; zilizopo Mkoa wa Manyara.

Soma Zaidi:-

Hits: 134

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *