MWITO WA MAONI: Maombi ya Marekebisho ya Bei ya Huduma za Maji kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi kwa Mwaka 2021/22 – 2023/24

Kwa mujibu wa kifungu Na. 19 (2) (b) cha Sheria Na. 414, taarifa inatolewa kwa umma…

MWITO WA MAONI: Ombi la Kubadili Umiliki wa Leseni na Jina la Kituo cha Mafuta aina ya Petroli kutoka Burhani Filling Station kwenda Pimaz Co.Ltd

Mtu yeyote mwenye maoni au pingamizi dhidi ya mabadiliko ya umiliki na majina ya leseni kutoka…

TAARIFA KWA UMMA: EWURA Yatangaza Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta ya Petroli Kuanzia Jumatano, 3 Agosti 2022

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za…

TAARIFA KWA UMMA: Rais amteua Mha. Modestus Lumato kuwa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA kuanzia 20 Mei 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Mha. Modestus Martin Lumato …