Taarifa za Jumla

Umeme | Miundombinu ya Umeme | Leseni na UsajiliNyenzo za udhibiti | Mikataba ya Ununuzi wa Umeme | Utii (Ufuasi) wa Sheria| Utatuzi wa Malalamiko na Migogoro

Taarifa za Jumla

Vifungu vya 5 na 6 vya Sheria ya Umeme, Sura ya 131, vinaipa uwezo Mamlaka kutekeleza majukumu ya udhibiti wa kiufundi na kiuchumi wa sekta ya umeme kwa Tanzania Bara ili kulinda maslahi endelevu ya wadau na watoa huduma. EWURA hutoa leseni, husimamia ubora, usalama na ufanisi wa huduma; na, huidhinisha viwango na tozo, mikataba ya ununuzi wa umeme, kwa lengo la kushamirisha ushindani na kukuza uchumi.

 

Hits: 2316